POST DETAILS
POST | AFISA HESABU DARAJA LA II (ACCOUNTS OFFICER II) - 1 POST |
EMPLOYER | Parliament of Tanzania |
APPLICATION TIMELINE: | 2023-03-14 2023-03-27 |
JOB SUMMARY | NIL |
DUTIES AND RESPONSIBILITIES | i) Kushiriki kuandika taarifa ya mapato na matumizi; ii) Kushirikiana na Mhasibu kuandaa taarifa za maduhuli; iii) Kushiriki kufanya usuluhisho wa hesabu za benki na nyingine zinazohusiana na masuala ya fedha; iv) Kuandaa taarifa mbalimbali za mishahara; v) Kuandika hati za malipo na hati za mapokezi; vi) Kutunza daftari la amana; na vii) Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.
|
QUALIFICATION AND EXPERIENCE | · Kuajiriwa wenye “Intermediate Certificate” (Module D) iliyotolewa na NBAA au sifa nyingine zinazolingana na hizo zinayotambulika na NBAA. · Shahada ya Biashara/Sanaa aliyejiimarisha kwenye fani ya Uhasibu. Stashahada ya Juu ya Uhasibu kutoka Taasisi yoyote inayotambuliwa na Serikali |
REMUNERATION | PSS D |