POST DETAILS
POSTMSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA LA II - 1 POST
EMPLOYERParliament of Tanzania
APPLICATION TIMELINE: 2023-03-14 2023-03-27
JOB SUMMARYNIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES

i)     Kutafuta kumbukumbu/nyaraka/mafaili yanayohitajiwa na wasomaji;

ii)    Kudhibiti upokeaji, uandikishaji wa kumbukumbu/nyaraka;

iii)   Kuchambua, kuorodhesha na kupanga kumbukumbu/nyaraka katika makundi kulingana na somo husika (classification and boxing) kwa ajili ya matumizi ya Ofisi;

iv)   Kuweka/kupanga kumbukumbu/nyaraka katika reki (file racks/cabinets) katika masjala/vyumba vya kuhifadhia kumbukumbu;

v)    Kuweka kumbukumbu (barua, nyaraka n.k) katika mafaili;

vi)   Kushughulikia maombi ya kumbukumbu/nyaraka kutoka Taasisi za Serikali.

vii)  Kufanya kazi nyingine za fani yake atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

 

QUALIFICATION AND EXPERIENCE

Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha nne au sita wenye cheti cha utunzaji kumbukumbu.

REMUNERATION PSS B
Login to Apply